.

.

HABARI PICHA YA BONANZA LILILOFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI 25/3/2017 SIMBA VS YANGA

Baadhi ya wanachama na wachezaji wa KURUGENZI FC baada ya bonanza la simba na yanga mechi iliyoisha kwa sare ya 2-2.

Moja ya wadau muhimu katika timu ya KURUGENZI FC kiungo mkabaji bwana Six na kiungo mshambuliaji Bwana  George chitanda.


kwa umakini mkubwa sana wadau wa Kurugenzi Fc wakifuatilia kikao hapo Jana baada ya bonanza
                       baadhi ya wachezaji wakijiandaa kwa mtanange wa kukata na shoka

 hapa viongozi wakijadili mambo muhimu kabla ya bonanza



3 comments: