Wadau wote wa timu ya mpira ya KURUGENZI FC HANDENI. mnaombwa kufika mapema uwanjani kwa ajili ya mazoezi na maandalizi ya mechi ijayo siku ya jumamosi asubuhi na timu ya WATUMISHI MISIMA.
njoo mapema ili tufanye zoezi kwa pamoja. Njoo kwa wingi upate nafasi ya kutokea kwenye blog yetu
No comments:
Post a Comment