.

.

ZOEZI LEO SAA KUMI NA NUSU JIONI. UWANJA NI HANDENI SEKONDARI



Wadau wote wa timu ya mpira ya KURUGENZI FC HANDENI. mnaombwa kufika mapema uwanjani kwa ajili ya mazoezi na maandalizi ya mechi ijayo siku ya jumamosi asubuhi na timu ya WATUMISHI MISIMA.
njoo mapema ili tufanye zoezi kwa pamoja. Njoo kwa wingi  upate nafasi ya kutokea kwenye blog yetu

No comments:

Post a Comment