.

.

MAANDALIZI YA UZINDUZI WA BLOG YA HANDENI KURUGENZI FURSA

 Hapa wadau wakubwa wa handeni kurugenzi FC wakiwa katika mjadala mfupi wa uzinduzi wa blog hii ya HANDENI KURUGENZI FC, utakao fanyika siku ya Jumamosi  1/4/2017 kwenye uwanja wa handeni sekondari . Vinywaji na nyama choma ndani ya nyumba.
ubishani wa kuhusu ipi iwe timu mualikwa , ambapo timu ya mpira wa miguu ya MISIMA WATUMISHI ilipata kura nyingi na hivyo ikateuliwa kama timu rafika katika uzinduzi huo wa HANDENI KURUGENZI FC FURSA BLOG.
 Vinywaji vilikuwepo pia, kutoka kushoto ni Bw Mkalimoto,(IT OFFICER KURUGENZI FC) Bw Cirrus (KATIBU NA MSEMAJI WA TIMU) Bw Ngatte (MCHEZAJI NA MSHAURI WA TIMU) na Bw Nnko (MJUMBE NA KATIBU KAMATI YA MAANDALIZI)

NAKUONA NAKUONA............UNAKITU CHA COCA COLA BROOOOOO!!!!!!!!!!!!! CHIEF NNKO

1 comment: